Jicho Pevu: Dawa Za Karaha pt.1a

submitted by kimmskimani on 11/27/13 1

Mengi yamesemwa kuhusiana na ulanguzi na matumizi ya dawa za kulevya nchini lakini hadi kufikia wa leo hamna jawabu dhabiti la kutoa suluhu. Ni aibu kwa serikali kushindwa kuwakamata wahusika na badala yake kuambulia kuwakamata watumizi. Hii leo katika sehemu ya kwanza ya Jicho Pevu mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali amelizamia suala lote nzima pasi na woga na kuibuka na mengi yaliyokuwa katika ripoti zote mbili za bunge na ile ya Rannerberger. Kwa ngoma kamili kaa mkao wa tahiyatu na ujionee na kusikia mengi usiyoyajua.

Leave a comment

Be the first to comment

Collections with this video
Email
Message
×
Embed video on a website or blog
Width
px
Height
px
×
Join Huzzaz
Start collecting all your favorite videos
×
Log in
Join Huzzaz

facebook login
×
Retrieve username and password
Name
Enter your email address to retrieve your username and password
(Check your spam folder if you don't find it in your inbox)

×