Jicho Pevu Keche Keche Mpakani 1

submitted by kimmskimani on 11/27/13 1

Saa chache tu baada ya takwimu za idadi kamili ya wakenya kutolewa Jicho Pevu la Ktn limebaini wazi kuwa raia wengi wa kigeni kwa ushirikiano na maafisa wa kulinda usalama wanaingia nchini kinyume na sheria. Kwa siku, zaidi ya watu 160 huvukishwa mpakani mwa kenya na somalia kwa ada ya dola mia mbili za marekani, takriban shilingi elfu 17 za kenya. mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali alizama katika bahari ya lindi la ulanguzi wa watu, na alipoibuka kama kawaida yake alizuka na mengi ya kustaajabisha.Kama kawaida tunakusihi utulie tuli kama maji ya mtungi na ujionee jinsi mambo yalivyopangwa na kupangika.

Leave a comment

Be the first to comment

Collections with this video
Email
Message
×
Embed video on a website or blog
Width
px
Height
px
×
Join Huzzaz
Start collecting all your favorite videos
×
Log in
Join Huzzaz

facebook login
×
Retrieve username and password
Name
Enter your email address to retrieve your username and password
(Check your spam folder if you don't find it in your inbox)

×