Jicho Pevu: "Kirindanda cha Uhalifu" pt.1

submitted by kimmskimani on 11/27/13 1

Visa vya uhalifu, mauaji na ubakaji hapa jijini vinazidi kugonga vichwa vya habari kila kukicha. La ajabu ni kwamba msururu wa mauaji na visa hivi vyote hutekelezwa na genge la majambazi linalohusisha vijana wadogo chini ya umri wa miaka 25. Na kama anavyotueleza mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali ni kwamba hata maafisa wa polisi sasa ni walengwa wakuu. Kwa ngoma kamili ya jinsi mambo yalivyokuwa katika patashika ya kwanza tunakusihi utulie tuli na ujionee jinsi ngoma ilivyosukwa.

Leave a comment

Be the first to comment

Collections with this video
Email
Message
×
Embed video on a website or blog
Width
px
Height
px
×
Join Huzzaz
Start collecting all your favorite videos
×
Log in
Join Huzzaz

facebook login
×
Retrieve username and password
Name
Enter your email address to retrieve your username and password
(Check your spam folder if you don't find it in your inbox)

×